Je nini sababu za ajali za sumu

From Audiopedia
Revision as of 17:22, 18 July 2023 by Marcelheyne (talk | contribs) (XML import)
(diff) ← Older revision | Latest revision (diff) | Newer revision → (diff)
Jump to: navigation, search

Ajali za sumu ni hatari sana kwa watoto wadogo. Bleach, na sumu ya kuua wadudu na panya, mafuta taa na sabuni za kuosha pale nyumbani zinaweza kuua au kusababisha majeraha kwa watoto.

Aina nyingi za sumu zinaweza kuua, kusababisha uharibifu wa ubongo, kumfanya mtu kuwa kipofu au kusababisha majeraha ikwa:

  • zitamezwa
  • zitavutwa
  • zimwagike kwa ngozi
  • zitaingia machoni
Sources