Nini husababisha maambukizi ya figo na ya kibofu cha mkojo

From Audiopedia
Revision as of 17:21, 18 July 2023 by Marcelheyne (talk | contribs) (XML import)
(diff) ← Older revision | Latest revision (diff) | Newer revision → (diff)
Jump to: navigation, search

Maambukizi ya njia ya mkojo husababishwa na viini. Viini hivi huingia mwilini kupitia sehemu ndogo iliyo chini ya sehemu ya uzazi ya mwanamke. Maambukizi haya kwa kawaida huwashika sana wanawake kuliko wanaume kwa sababu mshipa wa kupitisha mkojo katika maumbile ya wanawake, ni mfupi. Viini hupanda kwa urahisi kupitia kwenye mshipa huu na kuingia kwenye kibofu cha mkojo.

Sources
  • Burns, A. A., Niemann, S., Lovich, R., Maxwell, J., & Shapiro, K. (2014). Where women have no doctor: A health guide for women. Hesperian Foundation.
  • Audiopedia ID: sw011303