Nitajuaje ikiwa niko na madini ya kutosha mwilini
From Audiopedia
Madini yanahitajika kutengeza damu na kusaidia kuzuia ugonjwa wa ukosefu wa damu mwilini. Mwanamke anahitaji kupata madini mengi maishani mwake, hususan wakati anapopata siku za mwezi na anapokuwa mja mzito.
Vyakula hivi vinayo madini ya kutosha:
Vinginevyo pia ni kama:
Waweza kupata madini zaidi ikiwa: