Nini husababisha upungufu wa damu mwilini
From Audiopedia
Sababu moja ni kukosa kupata chakula chenye wingi wa madini aina iron, kwa vile iron inahitajika kwa kutengeneza chembechembe nyekundu za damu.
Sababu zingine: Malaria, ambayo huharibu chembechembe nyekundu za damu
Aina yoyote ile ya kupoteza damu kama vile: